Usindikaji wa majongoo bahari kuwa chakula kiitwacho bechedema

dc.creatorPurcell, S.W.
dc.date2023-04-27T13:31:33Z
dc.date2023-04-27T13:31:33Z
dc.date2021
dc.date2021-02-16T15:47:16.0000000Z
dc.date.accessioned2026-06-27T20:49:44Z
dc.descriptionMwongozo huu umeundwa kwa ajili ya wavuvi wa majongoo bahari kuelewa vizuri hatua zote za kubadilisha majongoo bahari mabichi mpaka kuyakausha, ambayo huitwa ‘bechedema’. Usindikaji unajumlisha kukata, kuweka chumvi, kupika, kukausha kwa moshi na kukausha majongoo bahari juani. Bei wanayopewa wavuvi wakiuza majongoo bahari yaliokaushwa inategemea aina ya jongoo wanayouza, ukubwa wa jongoo na umakini uliotumika wakati wa usindikaji. Kuna njia nyingi ambazo majongoo bahari yanaweza kusindikwa ili kupata ubora mzuri. Mwongozo huu unaelezea njia nzuri zaidi zinazoweza kutumiwa na wavuvi kwa kutumia rasilimali zinazopatikana kirahisi vijijini kwao. Mwongozo huo una sehemu inayoelezea juu ya uvuvi wa uwajibikaji na hauhamasishi kuongeza shughuli za uvuvi.
dc.format52 p.
dc.formatapplication/pdf
dc.identifier978-92-5-133901-5
dc.identifierhttps://openknowledge.fao.org/handle/20.500.14283/i8576sw
dc.identifierhttp://www.fao.org/3/i8576sw/i8576sw.pdf
dc.identifier.urihttp://hdl.handle.net/123456789/205632
dc.languageSwahili
dc.publisherFAO ;
dc.rightsFAO
dc.rightsCC BY NC SA 3.0 IGO
dc.titleUsindikaji wa majongoo bahari kuwa chakula kiitwacho bechedema
dc.titleProcessing sea cucumbers into beche-de-mer
dc.titleMwongozo kwa wavuvi wa Visiwa vya bahari ya Pasifiki
dc.titleA manual for Pacific Island fishers
dc.typeBook (stand-alone)

Archivos